Font Size
Mathayo 7:28-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:28-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Yesu alipomaliza kufundisha, watu walishangaa sana namna alivyokuwa akifundisha. 29 Hakufundisha kama walimu wao wa sheria; alifundisha kwa mamlaka.[a]
Read full chapterFootnotes
- 7:29 mamlaka Hakuhitaji mamlaka yoyote zaidi ya kwake. Kinyume chake waandishi daima waliwanukuu walimu wa kale wa Kiyahudi kama mamlaka ya mafundisho yao.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International