Font Size
Mathayo 7:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Ndiyo, yeyote anayeendelea kuomba atapokea. Yeyote anayeendelea kutafuta atapata. Na yeyote anayeendelea kubisha atafunguliwa mlango.
9 Ni nani kati yenu aliye na mwana ambaye akimwomba mkate atampa jiwe? 10 Au akimwomba samaki, atampa nyoka? Bila shaka hakuna!
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International