Add parallel Print Page Options

Watu Wamsifu Mungu Mbinguni

19 Baada ya hili nikasikia kitu kilichosikika kama kundi kubwa la watu mbinguni. Walikuwa wakisema:

“Haleluya![a]
Ushindi, utukufu na nguvu ni vyake Mungu wetu.

Read full chapter

Footnotes

  1. 19:1 Haleluya Yaani “Msifuni Mungu!” Pia katika mstari wa 3,4,6.