Font Size
Ufunua wa Yohana 6:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 6:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Nyota zikaanguka ardhini kama vile mat unda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapoti kiswa na upepo mkali. 14 Anga ikatoweka kama vile karatasi inav yosokotwa; na kila mlima na kila kisiwa vikaondolewa mahali pake.
15 Ndipo wafalme wa duniani, wakuu wote, majemadari, mata jiri , wenye nguvu; na kila mtu, mtumwa na aliye huru, wakajifi cha mapangoni na kwenye miamba ya milima.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica