Font Size
Ufunua wa Yohana 7:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 7:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Kisha nikaona malaika mwingine akija kutoka mashariki akiwa na muhuri wa Mungu aliye hai. Akawaita kwa sauti kuu wale malaika waliokuwa wamepewa mamlaka kuidhuru nchi na bahari, akisema, 3 “Msiidhuru nchi wala bahari, wala miti, mpaka tutakapoweka mihuri kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu wetu.”
4 Ndipo nikasikia idadi ya wale waliowekewa mihuri, watu 144,000 kutoka katika kila kabila la Waisraeli.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica