Font Size
Ufunua wa Yohana 9:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 9:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Walikuwa na mfalme wa kuwatawala, naye ni malaika wa shimo la kuzimu ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Aba doni na kwa Kigiriki ni Apolioni.
12 Maafa ya kwanza yamepita; bado mengine mawili yanakuja.
Tarumbeta Ya Sita
13 Malaika wa sita akapiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe nne za madhabahu iliyoko mbele ya Mungu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica