Font Size
Ufunuo 18:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 18:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Waliuona moshi wa kuungua kwake. Walilia kwa sauti, “Hakukuwa na mji kama mji huu mkuu!” 19 Walirusha mavumbi juu ya vichwa vyao na kulia kwa sauti kuu kuonesha huzuni kuu waliyokuwa nayo. Walisema:
“Inatisha! Inatisha sana kwa mji mkuu!
Wote waliokuwa na meli baharini walitajirika kwa sababu ya utajiri wake!
Lakini umeteketezwa katika saa moja!
20 Ufurahi kwa sababu ya hili, Ee mbingu!
Furahini, watakatifu wa Mungu, mitume na manabii!
Mungu amemhukumu kwa sababu ya kile alichowatendea ninyi.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International