Add parallel Print Page Options

    Hukumu zake ni za kweli na za haki.
Mungu wetu amemwadhibu kahaba.
    Ndiye aliyeiharibu dunia kwa uzinzi wake.
Mungu amemwadhibu kahaba kulipa kisasi cha vifo vya watumishi wake.”

Pia, watu hawa walisema:

“Haleluya!
    Anaungua na moshi wake utasimama milele na milele.”

Ndipo wazee ishirini na nne na viumbe wenye uhai wanne wakaanguka chini kusujudu wakamwabudu Mungu, akaaye kwenye kiti cha enzi. Wakasema:

“Amina! Haleluya!”

Read full chapter