Font Size
Ufunuo 19:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 19:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Hukumu zake ni za kweli na za haki.
Mungu wetu amemwadhibu kahaba.
Ndiye aliyeiharibu dunia kwa uzinzi wake.
Mungu amemwadhibu kahaba kulipa kisasi cha vifo vya watumishi wake.”
3 Pia, watu hawa walisema:
“Haleluya!
Anaungua na moshi wake utasimama milele na milele.”
4 Ndipo wazee ishirini na nne na viumbe wenye uhai wanne wakaanguka chini kusujudu wakamwabudu Mungu, akaaye kwenye kiti cha enzi. Wakasema:
“Amina! Haleluya!”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International