Add parallel Print Page Options

Pia, watu hawa walisema:

“Haleluya!
    Anaungua na moshi wake utasimama milele na milele.”

Ndipo wazee ishirini na nne na viumbe wenye uhai wanne wakaanguka chini kusujudu wakamwabudu Mungu, akaaye kwenye kiti cha enzi. Wakasema:

“Amina! Haleluya!”

Sauti ikatoka kwenye kiti cha enzi na kusema:

“Msifuni Mungu wetu,
    ninyi nyote mnaomtumikia!
Msifuni Mungu wetu,
    ninyi nyote mlio wadogo na wakubwa mnaomheshimu!”

Read full chapter