Add parallel Print Page Options

Kisha nikasikia idadi ya watu wenye alama ya Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao. Walikuwa watu 144,000. Walitoka katika kila kabila la Israeli:

Kutoka katika kabila la Yuda walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Rubeni walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Gadi walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Asheri walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Naftali walikuwa elfu kumi na mbili

Kutoka katika kabila la Manasse walikuwa elfu kumi na mbili

Read full chapter