Font Size
Ufunuo 7:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 7:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Kutoka katika kabila la Asheri walikuwa elfu kumi na mbili
Kutoka katika kabila la Naftali walikuwa elfu kumi na mbili
Kutoka katika kabila la Manasse walikuwa elfu kumi na mbili
7 Kutoka katika kabila la Simeoni walikuwa elfu kumi na mbili
Kutoka katika kabila la Lawi walikuwa elfu kumi na mbili
Kutoka katika kabila la Isakari walikuwa elfu kumi na mbili
8 Kutoka katika kabila la Zabuloni walikuwa elfu kumi na mbili
Kutoka katika kabila la Yusufu walikuwa elfu kumi na mbili
Kutoka katika kabila la Benjamini walikuwa elfu kumi na mbili.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International