Font Size
Ufunuo 8:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 8:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Muhuri wa Saba
8 Mwanakondoo alipoufungua muhuri wa saba, kulikuwa ukimya mbinguni kama nusu saa hivi. 2 Niliwaona malaika saba wanaosimama mbele ya Mungu. Walipewa tarumbeta saba.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International