Font Size
Ufunuo 9:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Ufunuo 9:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Tarumbeta ya Tano Yaanzisha Kitisho cha Kwanza
9 Malaika wa tano alipopuliza tarumbeta yake, niliiona nyota ikianguka kutoka angani mpaka duniani. Nyota ilipewa ufunguo wa kufungulia shimo refu sana liendalo kuzimu. 2 Kisha nyota ikafungua shimo refu sana liendalo kuzimu. Moshi ukatoka kwenye shimo kama moto utokao kwenye tanuru kubwa. Jua na anga vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka kwenye shimo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International