Add parallel Print Page Options

11 Walikuwa na mtawala, aliyekuwa malaika wa kuzimu. Jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni.[a] Na kwa Kiyunani ni Apolioni.[b]

12 Kitisho cha kwanza kimepita sasa. Bado vinakuja vitisho vingine viwili.

Mlio wa Tarumbeta ya Sita

13 Malaika wa sita alipopuliza tarumbeta yake, nilisikia sauti ikitoka katika pembe[c] zilizo katika pembe[d] nne za madhabahu ya dhahabu iliyo mbele za Mungu.

Read full chapter

Footnotes

  1. 9:11 Abadoni Ni jina la Kiebrania linalomaanisha “kifo” au “maangamizi”, hutumika kama jina la mahali pa kifo. Tazama Ayu 26:6 na Zab 88:11.
  2. 9:11 Apolioni Jina linalomaanisha “mteketezaji”.
  3. 9:13 pembe Kama za mnyama.
  4. 9:13 pembe Au “kona”.