Font Size
Waebrania 13:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 13:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Maana hapa hatuna mji wa kudumu, bali tunautafuta ule mji ujao.
15 Basi, kwa njia ya Yesu, tuendelee kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani, matunda ya midomo ya watu wanaokiri jina lake. 16 Msiache kutenda mema na kushirikiana mlivyo navyo, kwa maana sadaka kama hizi ndizo zinazompendeza Mungu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica