Font Size
Waebrania 13:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 13:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Tuombeeni, kwa maana tuna hakika kwamba tunayo dhamiri safi na tunapenda kufanya yaliyo sawa daima. 19 Ninawasihi zaidi mniombee ili nirudishwe kwenu upesi zaidi.
Sala
20 Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica