Font Size
Waefeso 4:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
Waefeso 4:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
24 na mvae utu upya ulioumbwa kwa mfano wa Mungu katika haki na utakatifu. 25 Kwa hiyo, kila mmoja wenu aache kusema uongo, na amwambie ndugu yake ukweli, kwa maana sisi sote ni viungo vya mwili mmoja. 26 Mkikasirika, msitende dhambi; msikubali kukaa na hasira kutwa nzima
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica