Font Size
Waefeso 6:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Waefeso 6:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Salamu za Mwisho
21 Namtuma kwenu Tikiko, ndugu yetu mpendwa na msaidizi mwaminifu katika kazi ya Bwana. Atawaeleza kila kitu kinachonipata. Kisha mtaelewa jinsi nilivyo na ninachofanya. 22 Ndiyo sababu namtuma yeye ili awajulishe hali zetu na tuwatie moyo.
23 Namwomba Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo awape amani, upendo na imani ndugu zangu wote mlio huko.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International