Add parallel Print Page Options

Salamu kutoka kwa Paulo na Timotheo, watumwa wa Kristo Yesu.[a]

Kwenu ninyi nyote, watakatifu wa Mungu mlioko Filipi, mlio wa Kristo Yesu, wakiwemo wazee[b] na mashemasi wenu.

Neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu, Bwana wetu, iwe pamoja nanyi.

Maombi ya Paulo

Ninamshukuru Mungu kila wakati ninapowakumbuka.

Read full chapter

Footnotes

  1. 1:1 Kristo Yesu Au “Mfalme Yesu”. Neno “Kristo” ni tafsiri ya Kiyunani ya neno la Kiebrania “Masihi”, ambao ni wadhifa wa kifalme. Tazama Mk 15:32: Lk 23:2. Tazama pia Kristo na Masihi katika Orodha ya Maneno.
  2. 1:1 wazee Yaani, “Waangalizi”. Tazama Mzee, Wazee katika Orodha ya Maneno.