Font Size
Wafilipi 1:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Wafilipi 1:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Ni kweli kwamba wapo ndugu wengine wanaom hubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana; lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema. 16 Hawa wanahubiri kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba Mungu ameniweka hapa kifungoni ili niitetee Injili. 17 Hao wengine wanamtangaza Kristo kwa tamaa ya kupata sifa wala si kwa moyo wa upendo, wakifikiri kwamba kwa kufanya hivyo wataniongezea mateso yangu kifungoni.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica