Font Size
Wafilipi 1:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Wafilipi 1:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Mungu anajua kwamba ninataka sana kuwaona. Ninawapenda nyote kwa upendo wa Kristo Yesu.
9 Hili ndiyo ombi langu kwa ajili yenu:
Ya kwamba mkue zaidi na zaidi katika hekima na ufahamu kamili pamoja na upendo; 10 ya kwamba mjue tofauti kati ya kitu kilicho muhimu na kisicho muhimu ili muwe safi msio na lawama, mkiwa tayari kwa siku atakayokuja Kristo;
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International