Font Size
Warumi 3:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 3:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
19 Tunajua ya kwamba, kile ambacho sheria inasema ni kwa ajili ya wale waliopewa sheria. Hii inamaanisha kuwa watu wote, Wayahudi na wasio Wayahudi, hawana udhuru kwa matendo yao. Hivyo ulimwengu wote unasimama mbele za Mungu na lazima ujibu kwake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International