Font Size
Warumi 3:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 3:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Kumcha Mungu hakupo machonipao.”
Mungu hakupo machonipao.”
19 Basi tunafahamu ya kwamba maagizo yote ya sheria ya Musa yanawahusu wale walio chini ya sheria hiyo. Kusudi la sheria ni kuwafanya watu wote wasiwe na kisingizio na kuuweka ulimwengu wote chini ya hukumu ya Mungu. 20 Kwa hiyo hakuna binadamu hata mmoja atakayehesabiwa kuwa na haki mbele za Mungu kwa kufuata sheria; bali sheria hutufanya tutambue dhambi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica