Font Size
Warumi 3:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Warumi 3:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 “Hawamheshimu wala kumcha Mungu.”(A)
19 Tunajua ya kwamba, kile ambacho sheria inasema ni kwa ajili ya wale waliopewa sheria. Hii inamaanisha kuwa watu wote, Wayahudi na wasio Wayahudi, hawana udhuru kwa matendo yao. Hivyo ulimwengu wote unasimama mbele za Mungu na lazima ujibu kwake. 20 Kwa sababu kufuata sheria hakumfanyi mtu akahesabiwa haki mbele za Mungu.[a] Sheria inatuonyesha dhambi zetu tu.
Read full chapterFootnotes
- 3:20 Tazama Zab 143:2.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International