Font Size
Warumi 3:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 3:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Haki Kwa Njia Ya Imani
21 Lakini sasa, njia ya Mungu ya kuwahesabia watu haki pasipo sheria, njia ambayo sheria na manabii huishuhudia, imekwisha dhihirishwa. 22 Haki hii itokayo kwa Mungu hupatikana kwa kumwaminiYesu Kristo. Mungu huwatendea hivi watu wote wamwa minio Kristo pasipo kubagua, 23 kwa maana wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica