Font Size
Yakobo 1:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 1:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Lakini kila mtu hujaribiwa anapovutwa na kudanganywa na tamaa yake mwenyewe. 15 Kisha tamaa hiyo ikisha chukua mimba, huzaa dhambi; na dhambi ikisha komaa, huzaa mauti.
16 Ndugu zangu wapendwa, msidanganywe.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica