Font Size
Yakobo 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Imani Na Hekima
2 Ndugu wapendwa, mnapopatwa na majaribu mbalimbali, yahesab uni kuwa ni furaha tupu. 3 Kwa maana mnafahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu hujenga ustahimilivu. 4 Na ustahimilivu ukimaliza kazi yake mtakuwa wakamilifu pasipo kupungukiwa na cho chote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica