Font Size
Yakobo 1:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 1:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Kwa maana mnafahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu hujenga ustahimilivu. 4 Na ustahimilivu ukimaliza kazi yake mtakuwa wakamilifu pasipo kupungukiwa na cho chote.
5 Lakini kama mtu ye yote kati yenu akipungukiwa na hekima, basi na amwombe Mungu, ambaye huwapa watu wote kwa ukarimu pasipo kulaumu, naye atapewa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica