Font Size
Yohana 10:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Wengi wao walisema, “Huyu amepagawa na shetani, kwa nini tuendelee kumsikiliza?” 21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mtu aliyepagawa na shetani. Je, shetani anaweza kumpo nya kipofu?”
Yesu Anajitambulisha
22 Ilikuwa sikukuu ya Utakaso wa Hekalu wakati wa majira ya baridi,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica