Font Size
Yohana 10:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 10:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
21 Wengine wakasema, “Haya si maneno ya mtu aliyepagawa na shetani. Je, shetani anaweza kumpo nya kipofu?”
Yesu Anajitambulisha
22 Ilikuwa sikukuu ya Utakaso wa Hekalu wakati wa majira ya baridi, 23 na Yesu alikuwa akitembea ndani ya Hekalu katika ukumbi wa Sulemani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica