Font Size
Yohana 10:25-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 10:25-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
25 Yesu akajibu, “Nilikwisha kuwaambia tayari, lakini hamkuamini. Nafanya miujiza katika jina la Baba yangu. Miujiza hii inaonesha mimi ni nani. 26 Lakini hamuamini, kwa sababu ninyi siyo kondoo wangu. 27 Kondoo wangu huisikia sauti yangu. Nami nawajua, nao hunifuata.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International