Font Size
Yohana 17:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Aomba Kwa ajili Yake na Wafuasi Wake
17 Baada ya Yesu kusema maneno hayo, alitazama mbinguni na kuomba, “Baba, wakati umefika. Mpe utukufu Mwanao ili Mwanao naye akupe wewe utukufu. 2 Ulimpa Mwana mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wale wote uliompa.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International