Font Size
Yohana 17:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 17:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Anawaombea Wanafunzi Wake
17 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, alitazama mbinguni akasema, “Baba, wakati umefika. Dhihirisha utukufu wangu ili nami nikutukuze wewe, 2 kwa kuwa umenipa mamlaka juu ya watu wote, niwape uzima wa milele wale ambao umewakabidhi kwangu. 3 Na huu ndio uzima wa milele: wakufahamu wewe ambaye pekee ni Mungu wa kweli, nakumfah amu Yesu Kristo ambaye umemtuma.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica