Font Size
Yohana 17:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 17:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Nimewapa neno lako na ulimwengu umewachukia kwa kuwa wao, kama mimi, si wa ulimwengu huu. 15 Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde na yule mwovu shetani. 16 Kama mimi nisivyo mwenyeji wa ulimwengu huu, wao pia sio wa ulimwengu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica