Font Size
Yohana 17:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 17:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Siombi kwamba uwaondoe ulimwenguni, bali uwalinde na yule mwovu shetani. 16 Kama mimi nisivyo mwenyeji wa ulimwengu huu, wao pia sio wa ulimwengu. 17 Watakase kwa neno lako; kwa maana neno lako ndilo kweli.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica