Font Size
Yohana 17:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:15-17
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
15 Siombi kwamba uwaondoe katika ulimwengu. Bali ninaomba uwalinde salama kutoka kwa Yule Mwovu.[a] 16 Wao si wa ulimwengu huu, kama mimi nisivyokuwa wa ulimwengu huu. 17 Kupitia kweli yako uwatayarishe kwa utumishi wako. Mafundisho yako ndiyo kweli.
Read full chapterFootnotes
- 17:15 Mwovu Ni Shetani au Ibilisi.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International