Font Size
Yohana 17:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 17:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Watakase kwa neno lako; kwa maana neno lako ndilo kweli. 18 Kama ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma wao ulim wenguni. 19 Kwa ajili yao nimejitoa wakfu kwako ili na wao wapate kuwa watakatifu kwa kufahamu kweli yako.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica