Font Size
Yohana 17:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 17:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Kama ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma wao ulim wenguni. 19 Kwa ajili yao nimejitoa wakfu kwako ili na wao wapate kuwa watakatifu kwa kufahamu kweli yako.
Yesu Anawaombea Watakaoamini Baadaye
20 “Siwaombei hawa peke yao; bali nawaombea pia wale wote watakaoniamini kwa sababu ya ushuhuda wa hawa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica