Font Size
Yohana 17:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:18-20
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Mimi nimewatuma ulimwenguni, kama wewe ulivyonituma mimi ulimwenguni. 19 Nami najiweka tayari kabisa kukutumikia wewe. Ninafanya hivi kwa ajili yao ili wao nao wawe wamekamilika kukutumikia.
20 Siwaombei tu hao wafuasi wangu lakini nawaombea pia wale watakaoniamini kutokana na mafundisho yao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International