Font Size
Yohana 17:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Ulimpa Mwana mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wale wote uliompa. 3 Na uzima wa milele ndiyo huu: kwamba watu watakujua wewe, Mungu pekee wa kweli, na kwamba watamjua Yesu Kristo, Yeye uliyemtuma. 4 Mimi nimeimaliza kazi uliyonipa niifanye. Nami nimekupa utukufu duniani.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International