Font Size
Yohana 17:25-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:25-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
25 Baba wewe ndiye unayetenda yaliyo haki. Ulimwengu haukujui, bali mimi nakujua, na hawa wafuasi wangu wanajua kuwa wewe ndiye uliyenituma. 26 Nimewaonesha jinsi ulivyo, na nitawaonesha tena. Kisha watakuwa na upendo ule ule ulio nao wewe kwangu, nami nitaishi ndani yao.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International