Font Size
Yohana 17:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Sasa, Bwana, unipe utukufu wako niwe nao pamoja nawe, utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya kuumbwa ulimwengu.
6 Wewe ulinipa baadhi ya wafuasi kutoka watu wa ulimwengu huu. Hao nimewaonesha jinsi wewe ulivyo. Walikuwa watu wako, lakini ukawakabidhi kwangu. Wao wameyashika mafundisho yako. 7 Sasa wanajua kuwa kila kitu nilichonacho kimetoka kwako.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International