Font Size
Yohana 17:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 17:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Wewe ulinipa baadhi ya wafuasi kutoka watu wa ulimwengu huu. Hao nimewaonesha jinsi wewe ulivyo. Walikuwa watu wako, lakini ukawakabidhi kwangu. Wao wameyashika mafundisho yako. 7 Sasa wanajua kuwa kila kitu nilichonacho kimetoka kwako. 8 Mimi niliwaeleza maneno uliyonipa, nao wakayapokea. Walitambua ukweli kuwa mimi nilitoka kwako na wakaamini kuwa wewe ndiye uliyenituma.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International