Font Size
Yohana 20:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 20:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Baada ya kusema haya, aliwaonyesha mikono yake na ubavu wake. Wanafunzi walifurahi sana walipomwona Bwana! 21 Yesu akawaambia tena, “Amani iwe nanyi. Kama Baba alivyonituma, mimi pia nawatuma ninyi.” 22 Na alipokwisha kusema haya akawavuvia pumzi yake akawaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica