Font Size
Yohana 20:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 20:22-24
Neno: Bibilia Takatifu
22 Na alipokwisha kusema haya akawavuvia pumzi yake akawaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu. 23 Mkimsamehe mtu ye yote dhambi zake, atakuwa amesamehewa. Msipomsamehe, atakuwa hajasame hewa.”
Yesu Anamtokea Tomaso
24 Tomaso, aliyeitwa Pacha, hakuwepo wakati Yesu aliwatokea wanafunzi wenzake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica