Font Size
Yohana 20:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 20:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Tomaso akamwambia Yesu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”
29 Yesu akamwambia, “Unaamini kwa sababu umeniona. Wana baraka nyingi watu wale wanaoniamini bila kuniona!”
Kwa Nini Yohana Aliandika Kitabu hiki
30 Yesu alifanya ishara nyingine nyingi za miujiza ambazo wafuasi wake waliziona, na ambazo hazikuandikwa kwenye kitabu hiki.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International