Font Size
Yohana 21:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 21:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Awatokea wafuasi Wake Saba
21 Baadaye, Yesu akawatokea tena wafuasi wake karibu na Ziwa Galilaya. Hivi ndivyo ilivyotokea: 2 Baadhi ya wafuasi wake walikuwa pamoja; Simoni Petro, Tomaso (aliyeitwa Pacha), Nathanaeli kutoka Kana kule Galilaya, wana wawili wa Zebedayo, na wafuasi wengine wawili.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International