Font Size
Yohana 21:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 21:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Simoni Petro, Tomaso aitwaye Pacha, Nathanaeli wa Kana ya Galilaya, wana wa Zebedayo na wanafunzi wengine wawili walikuwa pamoja. 3 Simoni Petro aka waambia wenzake, “Mimi nakwenda kuvua samaki.” Nao wakamwambia, “Tutakwenda pamoja nawe.” Wakatoka, wakaingia ndani ya mashua. Lakini usiku ule hawakupata cho chote. 4 Kulipopambazuka, Yesu alisimama ufukoni, lakini wale wana funzi hawakumtambua.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica