Font Size
Yohana 21:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 21:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Simoni Petro aka waambia wenzake, “Mimi nakwenda kuvua samaki.” Nao wakamwambia, “Tutakwenda pamoja nawe.” Wakatoka, wakaingia ndani ya mashua. Lakini usiku ule hawakupata cho chote. 4 Kulipopambazuka, Yesu alisimama ufukoni, lakini wale wana funzi hawakumtambua. 5 Yesu akawaambia, “Wanangu, mmepata samaki wo wote?” Wakamjibu, “La.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica