Font Size
Yohana 21:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 21:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Simoni Petro akasema, “Ninaenda kuvua samaki.”
Wafuasi wengine wakasema, “Sisi sote tutaenda pamoja nawe.” Hivyo wote wakatoka na kwenda kwenye mashua. Usiku ule walivua lakini hawakupata kitu.
4 Asubuhi na mapema siku iliyofuata Yesu akasimama ufukweni mwa bahari. Hata hivyo wafuasi wake hawakujua kuwa alikuwa ni yeye Yesu. 5 Kisha akawauliza, “Rafiki zangu, mmepata samaki wo wote?”
Wao wakajibu, “Hapana.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International